Tuesday, March 25, 2025
HomeLOCAL NEWSKalonzo Aachwa Njia Panda Baada ya ODM Kumpiga Daraja

Kalonzo Aachwa Njia Panda Baada ya ODM Kumpiga Daraja

Katika hali inayozua mshtuko wa kisiasa, chama cha ODM kimemtema kiongozi wa Wiper, Kalonzo Musyoka, na kumlazimu kutafuta mwelekeo mpya. Hatua hii imeibua mjadala mkali kuhusu mustakabali wa kisiasa wa Kalonzo na uwezekano wa kuungana na upande wa aliye kuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua.

Taarifa hii inakuja wakati siasa za mwaka 2027 zikianza kupamba moto, huku washirika wa Kalonzo wakitafakari hatua inayofuata. Je, atabaki upinzani au ataelekea upande wa serikali? Muda utaonyesha.

See also  Kalonzo Musyoka Urged to Chart His Own Political Path as Raila Moves Closer to Ruto

Endelea kufuatilia kwa habari zaidi hapa TCD Digitali.

Facebook Comments Box

Discover more from The County diary

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

RELATED ARTICLES

Leave a Reply

- Advertisment -

Most Popular

Recent Comments

Discover more from The County diary

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading